Agano la Kale

Agano Jipya

1 Mambo Ya Nyakati 1:28-31 Biblia Habari Njema (BHN)

28. Abrahamu alikuwa na watoto wawili wa kiume: Isaka na Ishmaeli.

29. Hivi ndivyo vizazi vyao: Mzaliwa wa kwanza wa Ishmaeli alikuwa Nebayothi na wengine ni Kedari, Adbeeli, Mibsamu,

30. Mishma, Duma, Masa, Hadadi, Tema,

31. Yeturi, Nafishi na Kedema. Hao ndio wana wa Ishmaeli.

Kusoma sura kamili 1 Mambo Ya Nyakati 1