28. Abrahamu alikuwa na watoto wawili wa kiume: Isaka na Ishmaeli.
29. Hivi ndivyo vizazi vyao: Mzaliwa wa kwanza wa Ishmaeli alikuwa Nebayothi na wengine ni Kedari, Adbeeli, Mibsamu,
30. Mishma, Duma, Masa, Hadadi, Tema,
31. Yeturi, Nafishi na Kedema. Hao ndio wana wa Ishmaeli.