Agano la Kale

Agano Jipya

1 Mambo Ya Nyakati 1:32 Biblia Habari Njema (BHN)

Abrahamu alikuwa na suria aliyeitwa Ketura. Ketura alimzalia Abrahamu: Zimrani, Yokshani, Medani, Midiani, Ishbaki na Shua. Wana wa Yokshani walikuwa Sheba na Dedani.

Kusoma sura kamili 1 Mambo Ya Nyakati 1

Mtazamo 1 Mambo Ya Nyakati 1:32 katika mazingira