Agano la Kale

Agano Jipya

1 Mambo Ya Nyakati 1:26-33 Biblia Habari Njema (BHN)

26. Reu akamzaa Serugi, Serugi akamzaa Nahori, Nahori akamzaa Tera,

27. na Tera akamzaa Abramu, ambaye ndiye Abrahamu.

28. Abrahamu alikuwa na watoto wawili wa kiume: Isaka na Ishmaeli.

29. Hivi ndivyo vizazi vyao: Mzaliwa wa kwanza wa Ishmaeli alikuwa Nebayothi na wengine ni Kedari, Adbeeli, Mibsamu,

30. Mishma, Duma, Masa, Hadadi, Tema,

31. Yeturi, Nafishi na Kedema. Hao ndio wana wa Ishmaeli.

32. Abrahamu alikuwa na suria aliyeitwa Ketura. Ketura alimzalia Abrahamu: Zimrani, Yokshani, Medani, Midiani, Ishbaki na Shua. Wana wa Yokshani walikuwa Sheba na Dedani.

33. Wana wa Midiani walikuwa: Efa, Eferi, Henoki, Abida na Eldaa. Wote hao walikuwa wazawa wa Ketura.

Kusoma sura kamili 1 Mambo Ya Nyakati 1