Agano la Kale

Agano Jipya

Matendo 12:7 Biblia Habari Njema (BHN)

Ghafla, malaika wa Bwana akasimama karibu naye na mwanga ukaangaza kile chumba cha gereza. Malaika akamgusa ubavuni akamwamsha akisema, “Ondoka upesi!” Mara ile minyororo iliyomfunga mikono ikakatika na kuanguka chini.

Kusoma sura kamili Matendo 12

Mtazamo Matendo 12:7 katika mazingira