Agano la Kale

Agano Jipya

Matendo 12:6 Biblia Habari Njema (BHN)

Usiku, kabla ya siku ile ambayo Herode angemtoa Petro hadharani, Petro alikuwa amelala kati ya askari wawili. Alikuwa amefungwa minyororo miwili, na walinzi walikuwa wanalinda lango la gereza.

Kusoma sura kamili Matendo 12

Mtazamo Matendo 12:6 katika mazingira