19. Wakati huo, nitawaadhibu wote wanaokukandamiza.Nitawaokoa vilema na kuwakusanya waliotupwa,na kubadili aibu yao kuwa sifana fahari duniani kote.
20. Wakati huo nitawakusanya,na kuwafanya mjulikane na kusifiwa,miongoni mwa watu wote dunianinitakapowarudishia hali yenu njemananyi muone kwa macho yenu wenyewe.Mimi Mwenyezi-Mungu nimesema.”