9. Basi, akamwuliza maswali mengi kwa muda mrefu, lakini Yesu hakumjibu neno.
10. Makuhani wakuu na waalimu wa sheria wakajitokeza mbele, wakatoa mashtaka yao kwa nguvu sana.
11. Basi, Herode pamoja na askari wake, wakamwaibisha Yesu na kumfanyia mzaha; kisha wakamvika vazi la kifalme, wakamrudisha kwa Pilato.
12. Herode na Pilato, ambao hapo awali walikuwa maadui, tangu siku hiyo wakawa marafiki.
13. Basi, Pilato akaitisha mkutano wa makuhani wakuu, viongozi na watu,