14. Na wakuu wa watu; Paroshi, Pahath-Moabu, Elamu, Zatu, Bani;
15. Buni, Azgadi, Bebai;
16. Adonikamu, Bigwai, Adini;
17. Ateri, Hezakia, Azuri;
18. Hodia, Hashumu, Besai;
19. Harifu, Anathothi, Nobai;
20. Magpiashi, Meshulamu, Heziri;
21. Meshezabeli, Sadoki, Yadua;
22. Pelatia, Hanani, Anaya;
23. Hoshea, Hanania, Hashubu;
24. Haloheshi, Pilha, Shobeki;
25. Rehumu, Hashabna, Maaseya;
26. Ahia, Hanani, Anani;
27. Maluki, Harimu, na Baana.
28. Na watu waliosalia, makuhani, Walawi, mabawabu, waimbaji, Wanethini, na hao wote waliojitenga katika watu wa nchi kwa torati ya Mungu; wake zao, na wana wao, na binti zao, kila mwenye maarifa na akili;