Agano la Kale

Agano Jipya

Neh. 10:29 Swahili Union Version (SUV)

wakaambatana na ndugu zao, wakuu wao, nao wakaingia katika laana na kiapo, ya kuwa wataiendea torati ya Mungu, iliyotolewa kwa mkono wa Musa, mtumishi wa Mungu, na kuziangalia, na kuzitenda, amri zote za BWANA, Bwana wetu, na hukumu zake na sheria zake;

Kusoma sura kamili Neh. 10

Mtazamo Neh. 10:29 katika mazingira