Agano la Kale

Agano Jipya

Ebr. 11:16-18 Swahili Union Version (SUV)

16. Lakini sasa waitamani nchi iliyo bora, yaani, ya mbinguni. Kwa hiyo Mungu haoni haya kuitwa Mungu wao; maana amewatengenezea mji.

17. Kwa imani Ibrahimu alipojaribiwa, akamtoa Isaka awe dhabihu; na yeye aliyezipokea hizo ahadi alikuwa akimtoa mwanawe, mzaliwa pekee;

18. naam, yeye aliyeambiwa, Katika Isaka uzao wako utaitwa,

Kusoma sura kamili Ebr. 11