Agano la Kale

Agano Jipya

Ebr. 11:16 Swahili Union Version (SUV)

Lakini sasa waitamani nchi iliyo bora, yaani, ya mbinguni. Kwa hiyo Mungu haoni haya kuitwa Mungu wao; maana amewatengenezea mji.

Kusoma sura kamili Ebr. 11

Mtazamo Ebr. 11:16 katika mazingira