Agano la Kale

Agano Jipya

Zaburi 8:7-9 Biblia Habari Njema (BHN)

7. Kondoo, ng'ombe, na wanyama wa porini;

8. ndege, samaki, na viumbe vyote vya baharini.

9. Ee Mwenyezi-Mungu, Bwana wetu,kweli jina lako latukuka duniani kote!

Kusoma sura kamili Zaburi 8