4. mtu ni nini, ee Mungu, hata umfikirie,binadamu ni nini hata umjali?
5. Umemfanya awe karibu kama Mungu,umemvika fahari na heshima.
6. Ulimpa madaraka juu ya kazi zako zote;uliviweka viumbe vyote chini ya mamlaka yake:
7. Kondoo, ng'ombe, na wanyama wa porini;
8. ndege, samaki, na viumbe vyote vya baharini.
9. Ee Mwenyezi-Mungu, Bwana wetu,kweli jina lako latukuka duniani kote!