Agano la Kale

Agano Jipya

Zaburi 8:3-7 Biblia Habari Njema (BHN)

3. Nikiangalia mbingu, kazi ya vidole vyako,mwezi na nyota ulizozisimika huko,

4. mtu ni nini, ee Mungu, hata umfikirie,binadamu ni nini hata umjali?

5. Umemfanya awe karibu kama Mungu,umemvika fahari na heshima.

6. Ulimpa madaraka juu ya kazi zako zote;uliviweka viumbe vyote chini ya mamlaka yake:

7. Kondoo, ng'ombe, na wanyama wa porini;

Kusoma sura kamili Zaburi 8