1. Usikilize maneno yangu, ee Mwenyezi-Mungu,usikie ninavyopiga kite.
2. Usikilize kilio changu,Mfalme wangu na Mungu wangu,maana wewe ndiwe nikuombaye.
3. Ee Mwenyezi-Mungu, alfajiri waisikia sauti yangu,asubuhi nakutolea tambiko yangu,kisha nangojea unijibu.