10. Ee Mwenyezi-Mungu, unionee huruma!Unipe nafuu, nami nitawalipiza.
11. Hivyo nitajua kwamba unapendezwa nami,maadui zangu wasipopata fahari juu yangu.
12. Wewe umenitegemeza kwani natenda mema;waniweka mbele yako milele.
13. Asifiwe Mwenyezi-Mungu, Mungu wa Israeli,tangu milele na hata milele!Amina! Amina!