Agano la Kale

Agano Jipya

Zaburi 40:15-17 Biblia Habari Njema (BHN)

15. Hao wanaonisimanga,na wapumbazike kwa kushindwa kwao!

16. Lakini wote wale wanaokutafutawafurahi na kushangilia kwa sababu yako.Wapendao wokovu wako,waseme daima: “Mwenyezi-Mungu ni Mkuu!”

17. Mimi ni maskini na fukara, ee Bwana;lakini ee Bwana wewe wanikumbuka.Ndiwe msaada wangu na mwokozi wangu;uje, ee Mungu wangu, usikawie!

Kusoma sura kamili Zaburi 40