15. Hao wanaonisimanga,na wapumbazike kwa kushindwa kwao!
16. Lakini wote wale wanaokutafutawafurahi na kushangilia kwa sababu yako.Wapendao wokovu wako,waseme daima: “Mwenyezi-Mungu ni Mkuu!”
17. Mimi ni maskini na fukara, ee Bwana;lakini ee Bwana wewe wanikumbuka.Ndiwe msaada wangu na mwokozi wangu;uje, ee Mungu wangu, usikawie!