6. Wengi husema: “Laiti tungepata tena fanaka!Utuangalie kwa wema, ee Mwenyezi-Mungu!”
7. Lakini mimi umenijalia furaha kubwa moyoni,kuliko ya hao walio na divai na ngano kwa wingi.
8. Nalala na kupata usingizi kwa amani;ee Mwenyezi-Mungu, wewe peke yako waniweka salama.