5. Kumbe umenipimia maisha mafupi sana!Maisha yangu si kitu mbele yako.Hakika, kila binadamu ni kama pumzi tu!
6. Kweli, kila mtu anapita kama kivuli;jitihada zake zote ni bure tu;anakusanya mali, asijue atakayeipata!
7. Na sasa, ee Bwana, ninatazamia nini?Tumaini langu ni kwako wewe!
8. Uniokoe katika makosa yangu yote;usikubali wapumbavu wanidhihaki.
9. Niko kama bubu, sisemi kitu,kwani wewe ndiwe uliyetenda hayo.