Agano la Kale

Agano Jipya

Zaburi 36:10-12 Biblia Habari Njema (BHN)

10. Uendelee kuwafadhili wale wanaokutambua;uzidi kuwa mwema kwa wanyofu wa moyo.

11. Usikubali wenye majivuno wanivamie,wala watu waovu wanikimbize.

12. Kumbe watendao maovu wameanguka;wameangushwa chini, hawawezi kuinuka.

Kusoma sura kamili Zaburi 36