Agano la Kale

Agano Jipya

Zaburi 34:20-22 Biblia Habari Njema (BHN)

20. Huvilinda viungo vya mwili wake wote,hakuna hata mfupa wake mmoja utakaovunjwa.

21. Ubaya huwaletea waovu kifo;wanaowachukia waadilifu wataadhibiwa.

22. Mwenyezi-Mungu huokoa maisha ya watumishi wake,wote wanaomkimbilia hawataadhibiwa.

Kusoma sura kamili Zaburi 34