7. Wewe ndiwe kinga yangu;wewe wanilinda katika taabu.Umenijalia shangwe za kukombolewa.
8. Mungu asema: “Nitakufunzana kukuonesha njia unayopaswa kufuata.Nitakushauri kwa uangalifu mkubwa.
9. Usiwe mpumbavu kama farasi au nyumbu,ambao lazima wafungwe lijamu na hatamu,la sivyo hawatakukaribia.”
10. Watu waovu watapata mateso mengi,bali wanaomtumainia Mwenyezi-Mungu wazungukwa na fadhili zake.
11. Furahini na kushangilia kwa sababu ya Mwenyezi-Mungu enyi waadilifu;pigeni vigelegele vya shangwe enyi wanyofu wa moyo.