Agano la Kale

Agano Jipya

Zaburi 32:5 Biblia Habari Njema (BHN)

Kisha nilikiri makosa yangu kwako;wala sikuuficha uovu wangu.Nilisema ninakuungamia makosa yangu ee Mwenyezi-Mungu,ndipo nawe ukanisamehe dhambi zangu zote.

Kusoma sura kamili Zaburi 32

Mtazamo Zaburi 32:5 katika mazingira