10. Usikie, ee Mwenyezi-Mungu, unihurumie;ee Mwenyezi-Mungu, unisaidie!”
11. Wewe umegeuza maombolezo langu kuwa ngoma ya furaha;umeniondolea huzuni yangu, ukanizungushia furaha.
12. Mimi nitakusifu wala sitakaa kimya.Ee Mwenyezi-Mungu, Mungu wangu nitakushukuru milele.