1. Ee Mwenyezi-Mungu, kwako naielekeza nafsi yangu!
2. Nakutumainia wewe, ee Mungu wangu,usiniache niaibike;adui zangu wasifurahie kushindwa kwangu.
3. Usimwache anayekutumainia apate aibu;lakini waaibike wote wanaokuasi kwa makusudi.
4. Unijulishe njia zako, ee Mwenyezi-Mungu;unifundishe nifuate unayotaka.