Agano la Kale

Agano Jipya

Zaburi 25:1-4 Biblia Habari Njema (BHN)

1. Ee Mwenyezi-Mungu, kwako naielekeza nafsi yangu!

2. Nakutumainia wewe, ee Mungu wangu,usiniache niaibike;adui zangu wasifurahie kushindwa kwangu.

3. Usimwache anayekutumainia apate aibu;lakini waaibike wote wanaokuasi kwa makusudi.

4. Unijulishe njia zako, ee Mwenyezi-Mungu;unifundishe nifuate unayotaka.

Kusoma sura kamili Zaburi 25