Agano la Kale

Agano Jipya

Zaburi 24:9-10 Biblia Habari Njema (BHN)

9. Fungukeni enyi malango,fungukeni enyi milango ya kale,ili Mfalme mtukufu aingie.

10. Ni nani huyo Mfalme mtukufu?Ni Mwenyezi-Mungu, wa majeshi,yeye ndiye Mfalme mtukufu.

Kusoma sura kamili Zaburi 24