28. Maana Mwenyezi-Mungu ni mfalme;yeye anayatawala mataifa.
29. Wenye kiburi wote duniani watasujudu mbele yake;wote ambao hufa watainama mbele yake,wote ambao hawawezi kudumisha uhai wao.
30. Vizazi vijavyo vitamtumikia;watu watavisimulia habari za Mwenyezi-Mungu,
31. watatangaza matendo yake ya wokovu.Watu wasiozaliwa bado wataambiwa:“Mwenyezi-Mungu ndiye aliyefanya hayo!”