Agano la Kale

Agano Jipya

Zaburi 22:28-31 Biblia Habari Njema (BHN)

28. Maana Mwenyezi-Mungu ni mfalme;yeye anayatawala mataifa.

29. Wenye kiburi wote duniani watasujudu mbele yake;wote ambao hufa watainama mbele yake,wote ambao hawawezi kudumisha uhai wao.

30. Vizazi vijavyo vitamtumikia;watu watavisimulia habari za Mwenyezi-Mungu,

31. watatangaza matendo yake ya wokovu.Watu wasiozaliwa bado wataambiwa:“Mwenyezi-Mungu ndiye aliyefanya hayo!”

Kusoma sura kamili Zaburi 22