1. Kwa nini mataifa yanafanya ghasia?Mbona watu wanafanya njama za bure?
2. Wafalme wa dunia wanajitayarisha;watawala wanashauriana pamoja,dhidi ya Mwenyezi-Mungu na mteule wake.
3. Wanasema: “Tujiondoe katika utawala wao;tutupilie mbali minyororo yao!”
4. Mwenyezi-Mungu atawalaye juu mbinguni,anawacheka na kuwadhihaki.
5. Kisha, anawakaripia kwa ghadhabu,na kuwatisha kwa hasira, akisema: