4. “Je, hao watendao maovu hawana akili?Wanawatafuna watu wangu kama mikate;wala hawanijali mimi Mwenyezi-Mungu.”
5. Hapo watashikwa na hofu kubwa,maana Mungu yu pamoja na waadilifu.
6. Unaweza kuvuruga mipango ya maskini,lakini Mwenyezi-Mungu ndiye kimbilio lake.
7. Laiti ukombozi wa Israeli ungefika kutoka Siyoni!Mwenyezi-Mungu atakaporekebisha hali ya watu wake,wazawa wa Yakobo watashangilia;Waisraeli watafurahi.