Agano la Kale

Agano Jipya

Zaburi 13:4-6 Biblia Habari Njema (BHN)

4. Usiwaache maadui zangu waseme: “Tumemweza huyu!”Watesi wangu wasije wakafurahia kuanguka kwangu.

5. Lakini mimi nazitumainia fadhili zako;moyo wangu na ufurahie wokovu wako.

6. Nitakuimbia wewe, ee Mwenyezi-Mungu,kwa ukarimu mwingi ulionitendea!

Kusoma sura kamili Zaburi 13