Agano la Kale

Agano Jipya

Zaburi 10:5-8 Biblia Habari Njema (BHN)

5. Njia za mwovu hufanikiwa daima;kwake hukumu zako ziko mbali na mawazo yake,na huwadharau maadui zake wote.

6. Huwaza moyoni: “Sitakuwa na wasiwasi;sitapatwa na dhiki maishani.”

7. Kinywa chake kimejaa laana, udanganyifu na dhuluma;mwepesi kusema maneno ya kuchukiza na maovu.

8. Hujificha vijijini huku anaotea,amuue kwa siri mtu asiye na hatia.Yuko macho kumvizia mnyonge;

Kusoma sura kamili Zaburi 10