Agano la Kale

Agano Jipya

Zaburi 10:15-18 Biblia Habari Njema (BHN)

15. Uzivunje nguvu za mtu mwovu;ukomeshe uovu wake wote, usiwepo tena.

16. Mwenyezi-Mungu ni mfalme milele na milele!Mataifa yasiyomjua yatatoweka nchini mwake.

17. Ee Mwenyezi-Mungu, wapokea dua za mnyonge;wampa moyo na kumtegea sikio.

18. Utawatendea haki yatima na wanaodhulumiwa,binadamu aliye udongo asiweze tena kuleta hofu.

Kusoma sura kamili Zaburi 10