Agano la Kale

Agano Jipya

Yoshua 19:42-48 Biblia Habari Njema (BHN)

42. Shaalabini, Aiyaloni, Yithla,

43. Eloni, Timna, Ekroni

44. Elteke, Gibethoni, Baalathi,

45. Yehudi, Bene-beraki, Gath-rimoni,

46. Me-yarkoni na Rakoni na nchi iliyokuwa karibu na Yopa.

47. Watu wa kabila la Dani walipopoteza nchi yao, walikwenda na kuushambulia mji wa Leshemu. Waliushinda na kuuteka, na baada ya kuwaua wakazi wake wote, waliumiliki halafu wakabadili jina la mji huo kuwa Dani; jina ambalo lilikuwa ni la babu yao.

48. Hizo ndizo sehemu zilizopewa koo za kabila la Dani; miji hiyo pamoja na vijiji vyake.

Kusoma sura kamili Yoshua 19