Agano la Kale

Agano Jipya

Yoshua 18:28 Biblia Habari Njema (BHN)

Zela, Ha-elefu, Yebusi, yaani Yerusalemu, Gibea na Kiriath-yearimu. Jumla ya miji waliyopewa ni kumi na minne pamoja na vijiji vyake. Hiyo yote ni sehemu waliyopewa watu wa kabila la Benyamini na koo zao.

Kusoma sura kamili Yoshua 18

Mtazamo Yoshua 18:28 katika mazingira