25. Miji mingine ni Gibeoni, Rama, Beerothi,
26. Mizpa, Kefira, Moza,
27. Rekemu, Irpeeli, Tarala,
28. Zela, Ha-elefu, Yebusi, yaani Yerusalemu, Gibea na Kiriath-yearimu. Jumla ya miji waliyopewa ni kumi na minne pamoja na vijiji vyake. Hiyo yote ni sehemu waliyopewa watu wa kabila la Benyamini na koo zao.