Agano la Kale

Agano Jipya

Yoshua 18:25-28 Biblia Habari Njema (BHN)

25. Miji mingine ni Gibeoni, Rama, Beerothi,

26. Mizpa, Kefira, Moza,

27. Rekemu, Irpeeli, Tarala,

28. Zela, Ha-elefu, Yebusi, yaani Yerusalemu, Gibea na Kiriath-yearimu. Jumla ya miji waliyopewa ni kumi na minne pamoja na vijiji vyake. Hiyo yote ni sehemu waliyopewa watu wa kabila la Benyamini na koo zao.

Kusoma sura kamili Yoshua 18