Agano la Kale

Agano Jipya

Yoshua 18:17 Biblia Habari Njema (BHN)

Huko, mpaka uligeuka kwenda kaskazini kuelekea En-shemeshi, ukapitia Gelilothi unaokabili mwinuko wa Adumimu na kuteremka hadi kwenye jiwe la Bohani mwana wa Reubeni.

Kusoma sura kamili Yoshua 18

Mtazamo Yoshua 18:17 katika mazingira