Agano la Kale

Agano Jipya

Yoshua 18:16 Biblia Habari Njema (BHN)

Kisha ulielekea chini kupitia pembeni mwa mlima ulioko karibu na bonde la mwana wa Hinomu, ambalo lilikuwa katika sehemu ya kaskazini zaidi ya bonde la Warefai. Halafu mpaka uliteremka kuelekea bonde la Hinomu, kusini mwa kilima cha Wayebusi, ukaendelea kuteremka hadi En-rogeli.

Kusoma sura kamili Yoshua 18

Mtazamo Yoshua 18:16 katika mazingira