Agano la Kale

Agano Jipya

Yoshua 11:21 Biblia Habari Njema (BHN)

Wakati huo, Yoshua alikwenda, akawaangamiza Waanaki waliokuwa wanaishi katika milima huko Hebroni, Debiri, Anabu, nchi yote ya milima ya Yuda na Israeli. Yoshua aliwaangamiza watu hao pamoja na miji yao.

Kusoma sura kamili Yoshua 11

Mtazamo Yoshua 11:21 katika mazingira