Agano la Kale

Agano Jipya

Yoshua 10:41-43 Biblia Habari Njema (BHN)

41. Yoshua aliwashinda watu wote kutoka Kadesh-barnea mpaka Gaza, na kutoka Gosheni mpaka Gibeoni.

42. Aliweza kuitwaa nchi hii yote kwa sababu Mwenyezi-Mungu, Mungu wa Israeli, aliwapigania Waisraeli.

43. Basi, Yoshua akarudi mpaka kambini huko Gilgali pamoja na Waisraeli wote.

Kusoma sura kamili Yoshua 10