Agano la Kale

Agano Jipya

Yona 2:1-3 Biblia Habari Njema (BHN)

1. Basi, Yona, akiwa tumboni mwa samaki huyo, akawa akimwomba Mwenyezi-Mungu, Mungu wake,

2. akisema:“Kwa sababu ya taabu yangu,nilikuomba, ee Mwenyezi-Mungu,nawe ukanisikiliza;toka chini kuzimu, nilikulilia,nawe ukasikiliza kilio changu.

3. Ulinitupa katika kilindi, katikati ya bahari,gharika ikanizunguka,mawimbi na gharika vikapita juu yangu.

Kusoma sura kamili Yona 2