Agano la Kale

Agano Jipya

Yobu 42:8 Biblia Habari Njema (BHN)

Kwa hiyo chukueni mafahali saba na kondoo madume saba, mwende kwa mtumishi wangu Yobu, mkawatoe sadaka ya kuteketezwa kwa ajili yenu. Naye mtumishi wangu Yobu atawaombeeni, nami nitaisikiliza sala yake na kuacha kuwatenda kulingana na upumbavu wenu; maana hamkusema ukweli juu yangu kama mtumishi wangu Yobu alivyofanya.”

Kusoma sura kamili Yobu 42

Mtazamo Yobu 42:8 katika mazingira