Agano la Kale

Agano Jipya

Yobu 41:6-10 Biblia Habari Njema (BHN)

6. Nani awezaye kufungua kinywa chake?Meno yake pande zote ni kitisho!

7. Mgongo wake umefanywa kwa safu za ngaozilizoshikamana pamoja kama kwa mhuri,

8. Kila moja imeshikamana na nyingine,hata hewa haiwezi kupenya katikati yake.

9. Yameunganishwa pamoja,hata haiwezekani kuyatenganisha.

10. Likipiga chafya, mwanga huchomoza,macho yake humetameta kama jua lichomozapo.

Kusoma sura kamili Yobu 41