14. Shingo yake ina nguvu ajabu,litokeapo watu hukumbwa na hofu.
15. Misuli yake imeshikamana pamoja,imara kama chuma wala haitikisiki.
16. Moyo wake ni mgumu kama jiwe,mgumu kama jiwe la kusagia.
17. Linapoinuka, mashujaa hushikwa na woga,kwa pigo moja huwa wamezirai.