8. Ni nani aliyeyafunga mafuriko ya bahariwakati yalipozuka na kuvuma kutoka vilindini?
9. Mimi ndiye niliyeifunika bahari kwa mawinguna kuiviringishia giza nene.
10. Niliiwekea bahari mipaka,nikaizuia kwa makomeo na milango,
11. nikaiambia: ‘Mwisho wako ni hapa, si zaidi!Mawimbi yako ya nguvu yatakomea hapa!’
12. “Yobu, tangu uzaliwe umewahi kuamuru kupambazuke?na kulifanya pambazuko lijue mahali pake,