Agano la Kale

Agano Jipya

Yobu 38:8-12 Biblia Habari Njema (BHN)

8. Ni nani aliyeyafunga mafuriko ya bahariwakati yalipozuka na kuvuma kutoka vilindini?

9. Mimi ndiye niliyeifunika bahari kwa mawinguna kuiviringishia giza nene.

10. Niliiwekea bahari mipaka,nikaizuia kwa makomeo na milango,

11. nikaiambia: ‘Mwisho wako ni hapa, si zaidi!Mawimbi yako ya nguvu yatakomea hapa!’

12. “Yobu, tangu uzaliwe umewahi kuamuru kupambazuke?na kulifanya pambazuko lijue mahali pake,

Kusoma sura kamili Yobu 38