Agano la Kale

Agano Jipya

Yobu 38:27-31 Biblia Habari Njema (BHN)

27. ili kuiburudisha nchi kavu na kamena kuifanya iote nyasi?

28. “Je, mvua ina baba?Au nani ameyazaa matone ya umande?

29. Je, barafu ilitoka tumboni kwa nani?Nani aliyeizaa theluji?

30. Maji hugeuka kuwa magumu kama jiwe,na uso wa bahari ukaganda.

31. “Angalia makundi ya nyota:Je, unaweza kuifunga minyororo Kilimia,au kuvilegeza vifungo vya Orioni?

Kusoma sura kamili Yobu 38