Agano la Kale

Agano Jipya

Yobu 31:2-6 Biblia Habari Njema (BHN)

2. Au je, nangojea nini kutoka kwa Mungu aliye juu?Mungu Mwenye Nguvu ameniwekea kitu gani?

3. Je, maafa hayawapati watu waovuna maangamizi wale watendao mabaya?

4. Je, Mungu haoni njia zangu,na kujua hatua zangu zote?

5. “Kama nimeishi kwa kufuata uongo,kama nimekuwa mbioni kudanganya watu,

6. Mungu na anipime katika mizani ya haki,naye ataona kwamba sina hatia.

Kusoma sura kamili Yobu 31