Agano la Kale

Agano Jipya

Yobu 31:1-5 Biblia Habari Njema (BHN)

1. “Nimejifunga rasmi mimi mwenyewe,macho yangu yasimtazame msichana kwa tamaa.

2. Au je, nangojea nini kutoka kwa Mungu aliye juu?Mungu Mwenye Nguvu ameniwekea kitu gani?

3. Je, maafa hayawapati watu waovuna maangamizi wale watendao mabaya?

4. Je, Mungu haoni njia zangu,na kujua hatua zangu zote?

5. “Kama nimeishi kwa kufuata uongo,kama nimekuwa mbioni kudanganya watu,

Kusoma sura kamili Yobu 31