32. Anapochukuliwa kupelekwa kaburini,kaburi lake huwekewa ulinzi.
33. Watu wengi humfuata nyumana wengine wengi sana humtangulia.Anapozikwa, udongo huteremshwa taratibu.
34. Mtawezaje basi, kunifariji kwa maneno matupu?majibu yenu hayana chochote ila uongo.”