Agano la Kale

Agano Jipya

Yobu 21:32-34 Biblia Habari Njema (BHN)

32. Anapochukuliwa kupelekwa kaburini,kaburi lake huwekewa ulinzi.

33. Watu wengi humfuata nyumana wengine wengi sana humtangulia.Anapozikwa, udongo huteremshwa taratibu.

34. Mtawezaje basi, kunifariji kwa maneno matupu?majibu yenu hayana chochote ila uongo.”

Kusoma sura kamili Yobu 21