Agano la Kale

Agano Jipya

Yobu 21:1-5 Biblia Habari Njema (BHN)

1. Kisha Yobu akajibu:

2. “Sikilizeni kwa makini maneno yangu;na hiyo iwe ndiyo faraja yenu.

3. Nivumilieni, nami nitasema,na nikisha sema endeleeni kunidhihaki.

4. Je, mimi namlalamikia binadamu?Ya nini basi, nikose uvumilivu?

5. Niangalieni, nanyi mshangae,fumbeni mdomo kwa mkono.

Kusoma sura kamili Yobu 21