1. Kisha Yobu akajibu:
2. “Sikilizeni kwa makini maneno yangu;na hiyo iwe ndiyo faraja yenu.
3. Nivumilieni, nami nitasema,na nikisha sema endeleeni kunidhihaki.
4. Je, mimi namlalamikia binadamu?Ya nini basi, nikose uvumilivu?
5. Niangalieni, nanyi mshangae,fumbeni mdomo kwa mkono.