Agano la Kale

Agano Jipya

Yobu 12:18-22 Biblia Habari Njema (BHN)

18. Huwavua wafalme vilemba vyao;na kuwafunga viunoni kamba za wafungwa;

19. Huwaacha makuhani waende uchi;na kuwaangusha wenye nguvu.

20. Huwanyanganya washauri kipawa chao cha kuongea,huwapokonya wazee hekima yao.

21. Huwamwagia wakuu aibu,huwaondolea wenye uwezo nguvu zao.

22. Huvifunua vilindi vya giza,na kuleta mwangani yaliyokuwa gizani.

Kusoma sura kamili Yobu 12